Ununuaji wa hisa au michango ndio uti wa mgongo wa Vicoba. Sasa kama unataka kuingiza mchango/hisa za wanachama ni kama ifuatavyo
![](https://kibaba.co.tz/docs/wp-content/uploads/2020/03/hisa.jpg)
Chagua Mwanachama
Hapa utachagua jina la Mwanachama ambae unahitaji kuweka hisa au mchango wake.
Kiasi
Kiasi cha pesa au thamani ya hisa alizonunua zitawekwa hapa
kisha hifadhi taarifa
Tazama Hisa/Michango iliyoingizwa tayari
![](https://kibaba.co.tz/docs/wp-content/uploads/2020/03/hisazote-1024x519.jpg)