Wakala wa Kibaba VS

Kuachana na Uwakala wa Kibaba MFS

Wakala atakuwa amejiondoa mwenyewe kuwa wakala kama atafanya yafuatayo Kutofuata sheria za Nakala hii Kufanya Kosa la Jinai na Mahakama kuthibisha Malalamiko kutoka kwa Wateja na kujiridhisha ni malalamiko ya kweli Kutofikisha michango / Ada za wateja Kuamua mwenyewe kuacha Kutoza Ada zaidi ya 10% ya bei Pendekezwa