Kategoria au Category hutumika kutambulisha aina ya Muamala unaoingia kwenye hesabu za Kikundi.
Kategoria zipo nyingi, zipo zinazoonekana na zisizoonekana moja kwa moja mfano (Hisa, Jamii, Mikopo, Marejesho na kujitio uanachama)
Matumizi ya Kategoria ni pamoja na Pale Kikundi kinapoamua kufanya Mradi. utatengeneza Jina la Mradi kama Kategoria.
Jina la Kategoria
Hili ni kina la Kategoria
Matumizi
Chagua matumizi kama Kategoria unayoingiza itaenda kuwa kama matumizi (au pesa itatoka kundini)
Mapato
Chagua mapato kama Kategoria unayoingiza itaenda kuwa kama mapato ya Kikundi